Wazo la kuwa na umoja lilianza katika Jumuiya ya Mt. Gabriel wa Meteso mwaka 2004. walioshiriki mchakato huo ni Flavian Mgomela, Ananias Ngugo, Adam Kiheka, Avitus Rwezaula,Respicius Rutta,Sylivester Matiku, Dr. Santois Lyando,Adelina Katwanga,Gerald Lwila,Lemi,Yohana Napake bila kuwasahau Baltazar Magashi, Emmanuel Masanja, Peter Maliwa maarufu “Jina langu linavuma….”na Daniel Malimi “Sabodo”
Mwaka 2007 rasmi Umoja ni Nguvu ilianzishwa baada ya kujitenga kutoka kwenye Jumuiya na kuwa umoja wa kijamii. Viongozi kwanza walikuwa:
Mwaka 2010 tulipitisha dua ya umoja pamoja na kanuni ya kukokotoa kiingilio cha mwanakikundi mpya kwa uratibu wa mzee wetu Yohana Napake.
Umoja ni Nguvu Mbezi Luis Tunahitaji na tumeweza !
Alexius Kasigara Kanyambo
Mwenyekiti, Umoja Ni Nguvu- Mbezi Luis
2014-2016 na 2021-2025